https://www.kenyatalk.com/index.php?threads/my-x.43589/
Huyu mdem alikuwa na ujinga sana…she was a shinny eye.now after dem kuingia kitchen akaanza zile za utakula nini culture…mimi nikanyamaza tu.niko tu hapo nawatch soap opera na bae while at this moment she is boiling akidai kulipuka.but i tried to cool her down .nikamshow awache fala aendelee kufanya vile anataka bora tu asijaribu kukunguza.we ndio nafenda…mnajua vile hawa watu tunawadanganyaga:D:D:Dto take you back kidogo …
i was dating this lady but alikuwa na tabia za kishetani.i can remember on 12-12-2015 ndio tulikuwa tumepanga tuende home kwetu akajulikane na wazazi coz i was ready to settle with her dispite her drama.for sure i loved this lady. but guess wat??imagine on 11th usiku napigia mtu napata ako mteja mpaka kesho yake kitu saa nane hivi ndio alini text.{SORRY MY PNONE WENT OFF.BUT I AM NOT READY TO GET MARRIED}ILE KICHAPO NILIMPEA VILE TULIPATANA…ANYWAY HEKAYA FOR ANOTHER DAY…Tuendelee.dem alikuwa anakam kejani.nampikia alafu awezi ata tumwa chumvi.kazi ni kukalisha matako hapo mjamaa afanye kila kitu.alafu alikuwa amezoea pombe sana coz alikuwa anakam na mzinga ya poison.{any brand}na tukienda out on satos she will never spend her coin.all bill on me ata credo ya soo madze.so nikaona hapa haitaweza.
Wat am i saying…nasema nini???nikaona hapa mambo itakuwa mbaya nikaamua kuact sasa.nikachukua handbag yake na kumtoa inje ya lazima.acha fala aanze kupiga kelele kwa ploti but nikamshow to hell .by now ilikuwa saa nne hivi usiku.majirani wakatoka nje alafu akaanza kuongea ujinga ati.mimi naitwa shiro na huyu ni bwana yangu ata nyinyi mnanionaga nikukuja hapa na pia kufua nguo na kuosha huku alafu anataka kuniacha .mimi siwezi kuacha heri nijirushe huko chini nikufe.:D:D.Nikamuuliza anagonja nini.hapo akachukua viatu za bae akatupa huko chini na kuanza kumtusi ati anamyanganya bwana.nikamshow nilimpea tym but akaleta mchezo na kunichezea akili na nisha amua enough is enough…Kuna towel na panty kadhaaaa:D:D:D:D:DZAKE.zilikuwa hapo nikazichukua na kuzitupa hapo nje na kufunga mlago…TO BE CONTINUED