Mzee Mzima

Hii niya wapi?
[ATTACH=full]87358[/ATTACH] [ATTACH=full]87359[/ATTACH] [ATTACH=full]87360[/ATTACH]
Choda Fabricators does it again.
cc: @Jazzman @wheelz @Luther12 @inzhener otmetka

8 Likes

Kill it before it lays eggs.

21 Likes

sufuria tupu

ikiwa hiyo ni chuma na si fibre, that bus will have its weight in the wrong place. Then mbona watu wanyimwe dirisha na hakuna ac

4 Likes

Hii swali kweli @Mzee mzima tuu ndiye anaweza jibu.:):):slight_smile:

hii gari every three weeks iko garage ikifanywa touchups, within a yr filler yote imefura videadly na hujamaliza kulipa loan.

3 Likes

ukiona wamasaa invest contact @vuja de

Kitengela, apa nayo they overdid it, kinda ugly

True, that bus looks seriously top heavy.

1 Like

NTSA wamelala kazini, it wasnt supposed kupita inspection but this is kenya

1 Like

kuna KCK inakaa kibanda ya keg, ishachapa tiyari.

1 Like

Choda nikama wamefika mwisho wa mawazo, sahii wanatoa vitu zingine mbovu sana. Hii gari ni CJ na itachapa haraka sana

2 Likes

unachukua loan unanunua an overpriced minibus ya fibre

Kwanza hii Biz haina kakitu, izi mpya zinachotwa na bank every month

Transport pays but ujuwe mat inalisha watu wangapi
1.crew
2.police
3.kanjo
4.mechanic
5.makanga
6.militia crews e.g mungiki
7.lastly the owner…
Kwa hawa watu wabaya ni crew, police na mechanic,

4 Likes

Woi

The owner alifanya ufala akaipeleka riko b4 iende checking uko Machakos…ilienda ikafukuzwa lazima itolewe izo vitu zote imeongezewa b4 ipitishwe checking…The owner is counting losses at the moment

The new standards kick in in May.

zipi hizo

(Wamasaa) Wa group of handles. Dagorretti.

1 Like