Mzigua90 uko wapi!

Bila uwepo wako humu mi sina raha tafadhari jitokeze basi japo nione maandishi yako tu mimi kwangu ni baraka tosha kabisa.

Nipo nae hapa kitandani

He he ndugu yangu ukuje uku unaitwa @Mzigua90 mkuu mzigua yupo jf ya zamani huku kunamchosha sana sababu ya browser

Kuna siku alikuja kumtafuta Dr.Love,sasa sijui ana shida gani!!

Ameshampata hahahah

Jf ya zamani kwani imekubali kukomenti tofauti na Pm?

Ni hukohuko pm

Mkuu nimekuitia anakuja

Mtoto wa kike yule kumtafuta mtoto wa kiume usishtuke sana

Mnaitiana tu ,nami niitie yoyote yule mie sichagui

Hmm!..

Mhhhh…!!
Nimepata mshtuko kidogo

Kweli kabisa humu ndani bila @Mzigua90 sio kabisa, na yeye ndio kafanikisha uwepo wangu humu ndani lakini anatukimbia kimbia…

Asante kiongozi Shunie, mi mzigua90 namwelewa sana ye hajui tu

Hahaha

Kwanini mkuu?

Pm yake amefunga, kila nikibisha hodi siitikiwi

jumatatu shule zinafunguliwa anaandaa topic mpya za kufundisha

Basi tu mkuu… tehteehhh