Mzito Omar Mohammed Amejionea Maendeleo Ya Jubilee Rife Rife. Wewe Je?

Switches on fake coasto accent
Wadau, mwamkumbuka huyu bwana mdogo?

https://www.youtube.com/watch?v=68ZX0hp_QwM

Haya basi, chembilecho wahenga, hayawi hayawi huwa. Punde baada ya kanda hiyo kusambazwa kwenye mtandao, Omar alifikiwa na mkono mrefu wa maendeleo. Kijana alitunukiwa zawadi mwafaka kama njia ya kumpongeza kwa msimamo wake wa kutetea chama cha Jubilee:
[ATTACH=full]125277[/ATTACH]
https://scontent.fnbo2-1.fna.fbcdn.net/v/t1.0-9/21371125_1558043137567362_5201083991369847609_n.jpg?oh=f1c409426896756db5936c5b167b635d&oe=5A4AED46
Kwa wale ambao wamebeba machungwa miaka kumi na tano bila kuona faida, twawapa pole.

https://www.youtube.com/watch?v=NxaYfYBEymg

Na kwa wale wanaowadanganya viongozi wa kesho na ahadi bandia za kuwapeleka Canaan, twazidi kuwakemea.

https://www.youtube.com/watch?v=--k_LbXVed4

Switches off fake coasto accent

11 Likes

Rose akinyi!

2 Likes

Miti imeteleza

2 Likes

Mungiki uko idle sana leo, meffi

1 Like

This would have had more weight if it that @spear tagline ‘Jubilee Development…blah blah’… :smiley:

1 Like