Nani amepigiwa na airtel ka mmi juu ya mwitu…
1 Like
Nikikwambia wamenipigia utaweka hekaya yote?
Eeeh yote…nawewe toa yako
???
ulifikiria umeshinda gari kuchukua simu wanaanza stori ya mwitu…
Fuck u…m nmezoea kupigiwa kutoka jan
What do they say
Give us your details…nani alikupea code…etc
Hehe… Saf pia wameamua leo
Si muache ujinga, eka hekaya yote
ebu leteni hekaya muwache umama
nadai bundles mwitu
so there are no more safaricom bundles mwitu?