Wakuu salam, kama mjuavyo kwa sasa nchi yetu pendwa Bongo haikaliki hivyo kila mtu anatafuta pa kwenda wengine wanataka kwenda Zimbabwe, wengine wapi sijui huko ila mimi nimechagua kutua kwa mzee Kenyatta hivyo nawaomba mliotangalia mnipokee
Umepitia boda gani mkuu
Usiwe mchoyo kuwahabarisha na wakimbizi wenzio juu ya fursa zilizopo huku Kwani kwa pamoja tutaushinda udhalimu wa mitandao uliofanyika.
Nimetumia usafiri wa kawaida tu sehemu nyingine bodaboda, sehemu nyingine kwa miguu lakini hadi nimefika naamini huku tutakuwa salama kiongozi wa malaika hatupati ng’oo
Karibu sasa tulipiganie taifa huku Tukiwa uhamishoni.
Pamoja mkuu
Karibu ,mkuu
Kiti inakuja
Karibu mkuu
Karibu sana. Nduguzo tupo huku.
Ukuje huku turkana kuna vumbi kiasi ila kuna vitoto fluna vina rangi ya mtume
Karibu KT
Karibu saaana.
Karibu
Huko lazima nikaribie
nilikuona ulivyokua unakuja kiwoga woga
we njoo tu huku tukuite mwanakijiji.
Kumbe WAKUBWA mume tulia JAMVINI ugenini?