Buda! tumezaliwa mucatha yes?? Sema ndio!.eeh?
Tukalelewa pamoja yes??.eeh?
Tukaenda shule moja eeh?
Labda ulidinya sistangu nikidinya wako eeh?
Tukamaliza shule tukaenda nyairofi,tukapata kasi,nyinyi mukasahau mucatha.
hatukusahau.
mucatha tulijenga.
maharusi mkiitwa hamukuji! Harambee mukiitwa hamukuji! Ruracio mukiitwa hamukuji! Matanga mukiitwa hamukuji!
Na hamujawai tuma kakitu *due to ur busy schedule.
Sasa leo, iko matanga kwenu.(RIP kibro), then ndio muanze kuuliza “na kwani maYouth wa hii area waliendapi?!”.
Noogle. Tutakuja tu na tutazikana. but that’s the biggest hypocritical viewpoint av seen in the near past
*Mucatha: village