Nairobi National Park...

  • Thread starter Deleted member 229
  • Start date
D

Deleted member 229

Guest
#1
Jana nimepiga lap huko ndani NNP, hiyo place ni kubwa sana. I wish ninge kuwa na ile DSLR ya beste yangu but mlika mwizi yangu imeshikilia...

Charges;

Saloon Car - 300/=
Kenyan Citizen - 430/=

Note;
1. Ukikwama huko ndani, towing charge ni 7500/=.
2. National ID is required.
3. ulizia kwa gate zile upande simba ziko, nimezi tafuta nikachoka.
4. Sense of Direction ni fiti juu kupotea ni rahisi.
5. DO NOT HOOT at the BUFFALOS, Animals have THE RIGHT OF WAY. (Kuna fala alikuwa na Noah, alipata Hekaya ya mwaka:D:D:D:D).
6. Baboons can and will take anything and everything usicheze nazo.

Jambazi aka Baboon...

20171102_151846.jpg

...

20171102_153246.jpg
...

20171102_153611.jpg
...

20171102_154151.jpg
...

20171102_154147.jpg
...

20171102_155107.jpg
...

20171102_163747.jpg
...

20171102_173308.jpg
...

20171102_135911.jpg
...


20171102_164158.jpg
 
D

Deleted member 229

Guest
#4
Nice....wanahesabu watu ndani ya gari au 300/- ni wholesale fee?
The Vehicle ni 300 and then mnalipa per person.

Safari walk at Nairobi National Park remains the among the best place you can take your family for a fun day.
Kuna King Fisher Picnic Spot iko fiti no Baboons but haina Gazebo mingi, over the weekends watu huwa wengi.

Note;

Nilisahau No Restriction on POMBE:D:D:D
 
Top