nairobi ni tricky sana

[ATTACH=full]122899[/ATTACH]

3 Likes

Upuss!!!

1 Like

Hao ndio tunasema watalijua jiji?

2 Likes

Hehe, @snapdragon anaanzia hustle kwa mat, noma sana.

5 Likes

Quite naive but this is really bad!! Dishonest people everywhere mpaka unashindwa kusaidia genuine cases

12 Likes

huyo jama akifanyia watu 10 hivyo kila siku in different routes and mat za nairobi ako na 2k per day:cool:

3 Likes

Kuna mmoja alijaribu hiyo vako na mimi… I gave him 20 Bob nikamuambia achangiwe na the other 31 passengers… Apan tambua strangers

12 Likes

I thought safcom hu call sendee before ku reverse ?

3 Likes

Hii Nairobi even assisting genuine cases ni ngori sana

huyo amedanganya…safcom nowadays huconfirm na lazima wangepigia huyo Dame Kwanza.

2 Likes

Mimi ni ngumu nisaidie

2 Likes

What irks me most is when you help people they think you are a wimp or stupid…

Ebu toanisha hiyo fala…nimekamata mjinga mwingine…

3 Likes

Hii sifa ya ukora na uwizi ndogo ndogo is slowly becoming one of the things Kenyans are identified with. Nigerians wako number one in Africa kwa ukora and sisi pole pole we are taking second position.

A few years back Kenya was known as a country full of runners and all of us used to be very proud to state our nationality when traveling abroad. It`s really sickening siku hizi when some foreigners hear that you are a Kenyan they also associate you with corruption and petty theft.

6 Likes

You cant be reversing mpesa transaction left right and centre!!

6 Likes

Mungiki lead the squad

1 Like

true, they freeze the account and call to confirm whether its in error. plus they give u a duration, haikuangi instant. Hii ni ushosholite ya fb ya kutafuta likes

7 Likes

Labda ako na simcards kadhaa

2 Likes

safcom nowadays call the recipient sio kama kitambo watu walikuwa wanakula lanye hKM

2 Likes

sparta uko area.

Betting has milked him dry:)

3 Likes