Naitwa New Villager....

Niko na mshangao…

Hadi sasa bado sielewi elewi tuu, kuna mtu kanisukuma kuingia humu sasa bado hata sielewi na utu uzima tuu naona wakati unaniacha nyuma.

Kwanza kuanzisha uzi mpya hapa nimeotea tuu hata sijui kama utatokea au ntakuwa nachangia uzi wa mtu, sijui kama ntaweza aiseeh.

Hata jinsi nilivoingia humu Kasie mie hata sielewi elewi…

Basi wakati JF ikiwa imefungwa nikaanza kusoma vitu vingine mbalimbali badala ya kupiga soga. Hapa ndo nikajijua kuwa kumbe Kasie niko hivi…

Top definition
Kasie
Kasie is wonderful!
-hilarious
-very sexy
-incredible wife
-some may even call her superwoman
-has some peculiar children
-great eye-candy
-good dancer
-gets no cheese on sandwiches
-likes a nice waltz
-not fond of football games
Kasie, being superwoman, loves superman.
#awesome#interesting#phemomenal#comical#personable
by chica misteriosa December 12, 2010

Hiyo tafsiri nimeikuta huko Urban Dictionery… hivi kumbe Kasie mie ni Super Woman… hata sikuwa najua yeeey am happy for that.

Ila ndo hivyo, huku badla ya kuitwa New Member naona nimepewa utambulisho wa New Villager… ati mie ni Mwanakijiji…

Kasie Mahaba Matata.

Siku moja tu kwangu ni mwaka nilipata mawazo sana juu yako mkuu na thread zako :wink:

Karibu mkuu…

Jitahidi upande nagzi uitwe Mwenyekiti wa nyumba kumi

Mpaka sasa sijaamini, Team Jf tumehamia huku kenya Talk.

Huu mtandao nimejiunga siku nyingi Sema nilikuwa sikielewi kiswahili cha hawa Jirani zetu.

Mimi pia tangu March nipo humu ila kiswahili chao ndio ilikuwa changamoto

Huku wote ni villager haijalishi unaishi city centre au kakonko

Sasa Angalau najihisi sasa Nipo Nyumbani.

TheMason Here…

hahahaaaahaaa

We Kasie una mbwembwe kweli haya karibu New villager mwenzangu

Kassiiee…!!!

Hhahahahahaha naona wewe ni Kiongozi wa Kijiji sijui ndo Chifu…!!! hahahahahaa

Haya wacha nijikongoje nifikie huko. Naona saa hizi nimekuwa Mwanakijiji kamili.

Asanteee.

Siku ile nilikupa ofa ukakimbia…

Hata mie bado nashangaa shangaa… kumbe thread imekubali.

Hhahahahahhaa nimeipenda hiii, kuwa huku wote tunakuwa wanakijiji haijalishi unakaa Daslam au Kondoa au USA Baby… hehehehehheee

Ngoja anisikie namsema huku USA Baby akija nakimbia mbiooo.

Hhaahahhahahaaa abee Kim. nna mbwembwe gani jamanii, mbona niko mpole tuu hheheheheee

Ila mwenzio sasa hivi nshakuwa mwanakijiji kamili sio mgeni tena. Pambana ndugu yangu.

Abeeeeeh…