Daah… kwema wakuu naona mpo majina yale yale. Kilio changu ni kutoweka kwa JF. ila kikubwa zaidi ni kuchelewa chelewa kwangu nasubiria Embe likomae hatima yake server zimezimwa.
Cherie neisha popote ulipo kama unatumia ID nyingine naomba unitext. nilipanga kukutongoza kabisa. sasa sijui shetani gani naye mwenye wivu asiyependa kuona tunayafurahia maisha wote kanipitia nikasahau. hadi tongozo nilishalikariri lipo ready. fanya namna please.