Nampenda huddah

jamani wakenya nisadieni kupata contact za huddah nampenda sana ila mm sio star sina chapaa nna mapenzi ya kweli kwake nataka nimbebe mtoto ashuke Tanzania.

hii asubuhi yote umeamka ukifikiria umalaya? kajenge nchi kwanza

Ni nani huyo

[ATTACH=full]175752[/ATTACH][ATTACH=full]175752[/ATTACH]

huyo hapo mkuu mtoto huddah

We nawe mbona unaniabisha, Kipi hapo kilichokuvutia?

Hao ndu huwa wakiamka wanaweka mikono kwenye Suruali.

nina hadi contacts zake +2547059780** hayo yote yawezakana
but leta za sanchoka aka sanchi tubadilishane
ni hayo tu

hahaha kuzipata kazi za yule binti ngoja nikutafutie

mi mlinzi nshatoka usiku kazini sasa ni muda wangu

Mtoto mzuri sna huyu

Nyege zako za Huddah hazituhusu wala usituletee.

:D:D:D:D:D:D:D:D hii line ni kalii

hahahha naombeni msaada jaman

punguza hasira na wewe

huddat, huddat?

mdau unasumbua …

Nafikir ndo hivyo ila najua wanaandika huddah menroe

Sio mimi ni mapenzi

Njoo kenya siku ya Ijumaa, piga kambi pale Best Western Premier, Hurlingham -Nairobi, huenda ukapatana naye.
Lakini ni mtoto wa kiislamu, kwa hivyo sijui kama amefunga ama bado anauza.

shukrani sana mkuu na hivi uhuru kasema kuingia kenya ni freee wacha nilifanyie kazi wazo lako