Kama upo huku naomba uje pm au kama kuna mtu anafahamiana nae naomba amfikishie taarifa namtafuta.
N.B. Sijamuona Mentor kipande hiki au nae hajapata taarifa bado ya hiki kiwanja?
Kama upo huku naomba uje pm au kama kuna mtu anafahamiana nae naomba amfikishie taarifa namtafuta.
N.B. Sijamuona Mentor kipande hiki au nae hajapata taarifa bado ya hiki kiwanja?
Labda wapo njiani kuja huku
Jamani naomba kujua huyo Dr.love ana niniii jamani wamsaka nipe ubuyu basi ili tupate hamasa ya kumsaka
Kama hawana nauli waniambie nitakopa haga niwaone tu huku
Woooooooozeeeeeerrrr
Watu na madokta wao! Sawa bwana
Nimempa taarifa, atakuja soon
Hahaha hahahahahahahaha
Hahaha.
Ukisikia dr basi roho inakutooka.
Mzima lakini sweet
Hehehehe mlete basi daby na iceman jamani
Hahahahaaa. Nina shida nae tu Jamani
Niko serious ujue
Kwanini imtoke?? Au anajua dokta ulimwengu?
Hahahahaha mm usintch wangu ni nini jamani
mpaka umpate utapata tabu sanaa
Hhaahahhaah dr.ulimwengu sina habari nae
Mfyuuu
Hahahaha me nauombea tu wapatikane
Sana aiseee