naomba usaidizi

Jana katika harakati zangu za ulevi nyumbani nikaangusha glass ya tusker juu ya keyboard ya laptop yangu…screen iko poa lakini keyboard ikawa unresponsive…nikaizima na kutoa battery… Sasa sijui nifanye nini kutoka hapo…naomba usaidizi

poole:D:D

hehehe in the meantime buy a traditional keyboard and connect it to the laptop if you have urgent matters to attend to

peleka tu kwa fundi

blow dry the Keyboard

Naogopa kuiwasha i dont do more damage

hii nimeona kwa google wakisema nisijaribu…itafanya even more damage

Fundi reliable hapa kwetu ni muislamu nimetoka kwake saa hii akasema hawezi guza pombe…hawa wengine nimakurutu tu

hehehehe hypocrates

4 Likes

imwagilie tusker ingine ifungue lock

15 Likes

Inbox @snapdragon and thank me later…

2 Likes

Put it in rice :smiley:

1 Like

hehehe…
hehehe…
hii lazima iwork

1 Like

Haha aweke kwa gunia ya basmati rice overnight

kama ni keyboard pekee haifanyi u can take it out without disassembling the whole machine bt it will depend na make na model ya machine yako. (youtube)
in the mean time run OSK command to use onscreen keyboard

eka maji to dilute iyo pombe

2 Likes

Ngoja laptop ikuwe sober kisha rudisha battery na uwashe. Thank me later.

2 Likes

wewe na lapi mlilewa…how comes umeleuka mbele yake?

Try vacuum cleaner ya keyboard, ama save time peleka kwa fundi.

waaa comments, hii lazima iwe jaa ya jan:D:D:D