Naona JF TZ iko mapumziko kidogo sasa hivi

Eti wanafanya maboresho. Isije kuwa JIWE kawakomalia watoe siri za watu! Kenya tunaomba mtulinde, hapa ni kuwa tunapashana habari nini kinatokea katika nchi zetu kama wazalendo

Acha Wapumzike, tumechoka na ban za Kila siku

[ATTACH=full]185754[/ATTACH]

Ndio raha ya kupiga miguu yote KT kama kawa

Dk 60 hazijaisha tu

Tungetukana mamba, si tungekula wa chuya!
Tusilidharau Dafu tena!

Tulisa akili mkuu, Jf yataka roho ngumu kwa awamu hii

Usitukane mamba kabla ujavuka mto

Usitukane mamba kabla ujavuka mto

Hmm! Tutabanana humuhumu…