Mwifwa
1
Habari wana kijiji.
Nashindwa kulog in kwa kutumia Application, nimejaribu ku-uninstall na kuinstall tena ila tatizo limebaki kuwa lilelile
Ni mimi nashindwa peke yangu au na ninyi tatizo lipo kwa upande wenu?
@The Tweet @Sakayo @myoyambendi @innaa @mututho wa kk @Davet
App ni kama haifanyi kazi mkuu ata Mimi nimeshidwa kuitumia…
Sakayo
3
Mwenyewe haifunguki kabisaaa