Hiiyo!!! Game ya man u. Imeisha aje???
haijaisha bado players wa man u wako kwa kiwanja wakitafuta mpira
4 Likes
at least hakuna needless maombolezi na kusaka ma-P3 wiki hiiā¦
1 Like
Upus
ni poa umechange mind
ku-change mind ya nini? sisi tulikamuliwa na saints jana na tukatulia juu tunajua kisiagi chetu kimechoma mota siku hiziā¦ni wale wamezoea kuvunja watu ma-jaw na ma-meno we were worried aboutā¦
1 Like
Niaje gashwin, leo nime enjoy kama poko ana cum. Nilikuwa hood yangu juu ya jameson, ubaya ni mkono bado iko kwa slingā¦
Utapona tu usijali bora next weekend kikiumana usisukumaneā¦game huwa hivoā¦