Kama kichwa cha thread kinavyoeleza hapo juu mimi ni mbongo nina miaka 28 I like to have girlfriend from ke umri kuanzia 21 na kuendelea, wasifu zaidi karibu pm.
#Tukuze_jumuiya_yetu
hata picha yako inaonesha wewe ni bongo.
hapana ua rosungu jamaneni
Interested one naomba tuonane pm
I can’t do that bro
Chunga kimakia asikuingize box :D:D:D ama ule shemale
Haaa haaa haaa kumbe Kenya pia kuna shemales mkuu? Niliwaona Bangkok one time
Rudi utokako…
Nirudi wapi mkuu me nataka niwe shemeji yenu acha kunifanyia roho mbaya
chukua @Nefertities roho safi
Ngoja nimjaribu mkuu kama atanifaa natanguliza shukran kwako
@Nefertities naomba uje pm bahati imekudondokea wewe mrembo
Pia mimi naomba dame kutoka tz. Warembo wa huko wanatokea sehemu gani?
@Teddy_time Usijali wako wengi tu ukitaka wa pwani ntakupa kutoka tanga, dar au mtwara. Ukitaka weusi waliojazia nyuma ntakupeleka bukoba au mbeya kwa wanyakyusa. Ukataka weupe warefu nakupeleka mbulu manyara huko na singida kwa wanyaturu. Karibu sana tz
Eeeeeish saaaaitan marateng
Hata we ni mrembo ujue. So nipe go ahead nije pm tafadhali
Boss achia hapo.
:D:D:D:D:D
chunisha hii mama sukuma jamani