Tumsaidie huyu dada nimekuta ombi lake whatsapp.
Tafadhali click link hii hapa chini itakupeleka kwenye Insta yake na utalike hiyo picha. Ambayo inashiriki mashindano fulani hivi utaona. Cha muhimu ni Like yako. Tafadhali tumsaidie jamani.
[MEDIA=instagram]B1CT3zpB7BY[/MEDIA]
[ATTACH=full]253846[/ATTACH]
Na watu hawana nywele kama @Makonika ?
There should be a compitition of all the churas. The guitar player,the fisjing frog,the dancing frog…
pamba
August 13, 2019, 10:17pm
8
Ile ya kofia ndio imeweza.
1776
August 13, 2019, 10:35pm
9
tuoshwe macho priss alafu tutapiga kura
slevyn
August 14, 2019, 4:28am
11
NO aonyeshe mathayo kwanza… nothing is for free
Pseudonyms:
Mashindano ya nini?
Hlo ni shndano la natural hair ambapo mshiriki atakayepata likes nyng kwny picha yake ndo anakuwa mshnd naomben sapot yenu ndugu
Majibu hayo toka kwa muhusika. Mimi nimempazia sauti ti.
wenye wanataka kusafisha mecho
[ATTACH=full]253884[/ATTACH]