jamani Gudume yupo humu? kama yupo alete story zake zenye ladha ya chai kavu manake Jamaa ni bingwa wa chai
hapajui huku
jana nilikutana nae huku ushirombo na kile kichwa chake kama behewa la treni ya wakoloni anauza maparachichi yaliyooza anatumia simu ya OKING ring tune yake n CCM mbele kwa mbelee
Bar zinafunguliwa saa 10,we mbona umewahi sana
:p:p:p:p:p:p:p:p
hapa lumumba tunakunywa hata mchana ndo mana ma picha picha hayaishi kwetu
Mkuu, naona nimekupita pale soko la zamani unapiliza tu…[ATTACH=full]180078[/ATTACH]
Muache mchepuko wangu handsome amekataa kuja huku
Bichwa lake sasa
hey ````nimewamiss `jamani
Sijamuona
:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p
Mlete Kritika basi
aiseeee itabidi nimfatr pm nyumbani
Itakuwa jambo jema sana maana hakuna wa kutuchamba tangu tuje huku ugenini/ukimbizini
nimecheka sana kuchamba ndo imebidi nimkumbukenyie wabaya sana
:p:p:p:p:p:p:p:p
Anhaaa…
Gudume anakuja nimempa taarifa