Watu na akili zao wanafurika eti kushangilia ndege,wajinga na wapuuzi
Ona mijitu mizima na akili zao. Hata mengi naye yumo, mbuzi mbuzi kabisa taifa hili.
[ATTACH=full]182166[/ATTACH]
Watu na akili zao wanafurika eti kushangilia ndege,wajinga na wapuuzi
Ona mijitu mizima na akili zao. Hata mengi naye yumo, mbuzi mbuzi kabisa taifa hili.
[ATTACH=full]182166[/ATTACH]
waache,usiwaamshe
Hebu someni hapa.
https://www.linkedin.com/feed/update/urn:li:activity:6421520383681404928
Kuna mtu ka-comment hivi:
I think President Megafooly would be more appropriate but as in almost every African Airline Sitcom the “Bling” Syndrome more often than not takes precedent over Common Sense !
Duh! Nilikuwa sijaangalia vizuri hiyo picha. We are officially now a laughing stock
Madikiteita wote wako hivyo… kuwaimpress majuha akijua kuwa anawaonea and what he is doing will not work!
ostentatious: characterized by pretentious or showy display; designed to impress.
Haaaaaahaaaaaaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] noma hata nauli ya kupanda hyo ndege hawana
Hapo wanaona fahari kuiona live maana hawataweza kuipanda
Simuoni mkewe yule Joyce wowowo hapo!! yuko jikoni nin?
Namuona shekh ubwabwa