Hapa ni katika kiwanda cha Boeing Everett. Uundaji wake uko karibu kukamilika na yatarajiwa kutumika kwa safari za moja kwa moja kutoka Julius Nyerere Airport hadi Mumbai kuanzia Agosti
[ATTACH=full]175428[/ATTACH]
Hapa ni katika kiwanda cha Boeing Everett. Uundaji wake uko karibu kukamilika na yatarajiwa kutumika kwa safari za moja kwa moja kutoka Julius Nyerere Airport hadi Mumbai kuanzia Agosti
[ATTACH=full]175428[/ATTACH]
Sawa tusuburi
Kitu siku si nyingi kitakuwa kwenye Ardhi ya
Bado more 2 in the making
Vivaaa JPM
Vivaaa Tanzania
Hivi ile Bombadier ilokuwa imepaki Mza Airport kwa matatizo ya kiufundi ilishaondoka?
Hii itatutangaza sana nchi za mbali…
Kweli japo HD LEO sina Hakika km nitapanda, nyie pande ni mtuletee stories hapa jinsi mlivyostarehe
Chombo kimekula lami
Ningekuwa nasikika ATCL, ningewashauri iwe na route ya kuwapeleka Wangonjwa India, iunganishe kwenda China kuwapeleka wafanyabiashara halafu irudi kupitia India then JNIA
TANZANIA NI NCHI TAJIRI HADI TUNA NDEGE ZETU
Matajiri sisi
Raiti tiraki
Ushauri kuntu huu
Umetumwa au
Tunaipokea lini??