Hi wakuu,
Mambo ya ushirikina katika mapenzi yameanza toka zamani hizo ambapo wanawake waliita limbwata.
Sasa sikuhizi wanaume wamekuwa wagumu kuoa, sasa wadada wengi wamestuka mapema wanawapeleka kwa waganga ili waolewe.
Unashangaa ghafla bonge la harusi linafungwa kumbe ndumba.
Ubaya wa ndoa hizi zinabamba mwanzoni hataree. Dawa zikiisha ndoa inageuka gereza.
Niishie hapo…
Wanaume legezeni mmekaza
Doncute
Doncute:
Wanaume legezeni mmekaza
Mmekuwa wepesi saana so hata hamu ya kuoa masela hatuna, Kidume unakula papuchi daily sasa ndoa unaanzia wapi kuwaza
Doncute:
Kweli tunagawa sana…
Wife material kwanza kupata papuchi yake kabla ya ndoa ni mbinde, Yaani siku akikutunuku unakeshea vile unajua kupata tena ni mbinde.
Ila siku hzi ni cheap sana Demu yaani ndani ya masaa mawili tayari ushatongoza na papuchi ushakula.
Wanaume hatujakaza ila tunaendelea kutafuta na bidhaa tunazotaka ni adimu kwa sasa
Gidheli:
Wife material kwanza kupata papuchi yake kabla ya ndoa ni mbinde, Yaani siku akikutunuku unakeshea vile unajua kupata tena ni mbinde.
Ila siku hzi ni cheap sana Demu yaani ndani ya masaa mawili tayari ushatongoza na papuchi ushakula.
Wanaume hatujakaza ila tunaendelea kutafuta na bidhaa tunazotaka ni adimu kwa sasa
Umenena vyema…mwenye masikio na asikie
Kumbe wanapelekwa kwa maana iyo kalizia bhana
Doncute:
Kweli tunagawa sana…
Sasa unigawie na mimi utamu, ukimbizi sio ugonjwaa
kuona wadada wachawi. Usikute na humu wamo wengi tu. Wasaka ndoa za kichawi
Nikirogwa poa tu maana ndoa ni jambo si dhambi
Wadada siku hizi uchawi wao ni kukukalia uchi… kama kajisahahu vile kumbe anakuvutia speed…
Cc: @Mahondaw
Asee huu uchawi kiboko,unatofautiana sana na mleta Mada
Mi
Namgawia mume wangu tuuu…
Inamanisha kwamba ukilala nae tu, lazima utangaze ndoa…
Cc: @Mahondaw
Labda hiyo K iwe imepakwa dawa ya kuvuta ndoa…maana wengine huliwa na kuachwa