Nema shuts down Daima Milk Processing plant after raid

National Environment Management Authority has closed Sameer Agriculture and Livestock Limited for discharging untreated wastewater straight to the public sewerage.
The company is a milk processing plant, which produces Daima Milk and other dairy products.
Officials from Nema raided the facility which is located in Industrial Area in Nairobi on Tuesday to access its operations.[ATTACH=full]256562[/ATTACH][ATTACH=full]256564[/ATTACH]:smiley:

Uhunye anapima shamba ama?.

Why is UK doing splits :D.
Wafunge, na they follow up on more companies polluting our environment, and continue with follow up, not one time fiascos…

Hii Kenya yetu iko shida juzi ilikuwa corapshon saa hii wameingia environment.

Apana hii ni vita ya Kenyattas , The family has always wanted to monopolize dairy field. Si walinunua hadi Tuzo kutoka kwa mihindi

Wacha hizo, ikiwa hawa watu wako na makosa wacha washtakiwe.

The mhindi offered to sell me The Tuzo manufacturing company but I declined coz it was not in my line of business

Kenyatta family watatumaliza

Nope,did you watch toxic documentary on sijui ntv?
The amount of raw waste discharged to Nairobi river is on another level.
Kisha mukiletewa sukuma wiki sembe inashuka vizuri.
Baadaye ooooh cancer has increased.
Wafunge zote.

Kufunga sio solution, while we are trying to accomplish the Agenda 4

hata pia mimi alijaribu kuniuzia nikakataa juu nilitumia pesa zangu zote kununua private jet

Not unless they’re able to control the pollution emanating from the informal settlements along the river, kawangware kibera mathare dandora etcetera, shutting down a few factories won’t help

Kitu iliwaweza ni farmers wa githunguri dairys. Alikuwa karibu kupita na company ya maziwa huko.

Inaitwa Fresha

Mzito,factories emanating more toxic waste with night levels of harmful elements that informal settlements.
Next should be improving drainage in these settlements which is not an easy feat.

What’s the point of the agenda if it involves a sick population.

Higher concentrations za toxic materials kweli zinatoka kwa factory, kwanza heavy metals

Na hapo ndio main problem iko sasa.

They can look for a way to dispose the waste, county Gov can also assist in.