naomba msome yote ama kile kitego kinakuhusu before you comment
haki ya Ngai, @FieldMarshal CouchP @mabenda4 someone wants to finish you politically
[ATTACH=full]160759[/ATTACH]
DL categories, angalieni hii kwa makini
[ATTACH=full]160760[/ATTACH]
MM na uache hizi
[ATTACH=full]160763[/ATTACH]
Same as EU categories
Hehehe. Sigiste bado niko na a decade na…
Subject to corrupt systems. Kama sai driving test you fail na bado unapewa DL. Ile kitu wanataka ni kuonekana wanafanya kazi but hizi policy huwashinda implementation. And their love for money is their achilles heel. So i am not afraid
Nimecheki iyo curriculum,but sijaona kitu Kama class f.leo nilikua rocky wakaniambia siku hizi kuna class f Incase hauna vision poa kwa one eye. Nifafanulie tafadhali