New siries

Ni siries gani mpwa sai zinabamba? Nataka love story na action kwa mpigo

unasema?

Siri ya Baba iko sawa…

Sijui siri zozote. Hata ukiniambia nasahau

@introvert kuja na TATA ya KDF

Hii ng’ombe ilale ndani hadi Monday.
Ong’er.
[ATTACH=full]173490[/ATTACH]

ongea tu kijaluo umezoea tutapewa transleshen .

What the fuck is siries?

leo umeuliza kitu cha maana

Into the badlands
Westworld
Billions
Star wars Pornhub parody

@markopolloh wewe ni pokoti ya kapedo

Bandland imefika sisn ngapi ju niliachia 2

We ni murogi sana

Mi ni bunyore bana

We kwanza umenikumbusha… jana ilikua cku ya kusamehana na ulinitusi.nimekusamehe lakini

season 3

Its the plural of siri.

Ati nini?
@introvert tata haijatosha huyu jamaa
Its seems ni factory settings

Wacha kutumia simu za mchinku, zinatoa vitu zingine ajabu

Tafuta Barry.