Nimecheki @Akothee thread ukiulizia New Zealand nikakumbuka teamtalk…no.1 anti jubilee village conman …aliendanga wapi:D
Last time I heard of him alikuwa akinunua madini pale Tz.
Mumeamka
[ATTACH=full]248752[/ATTACH]
hawa kuna mahali wameitwa iruga…kuna function ya ocha na kuna wageni wanaingia na magari…ndio wanaangalia
hapo inakaa OhMUSALABA