thanks @Electronics4u , @Fala 12 na @ol monk (old monkey) na huku niwaulize tu, kuna watu kukulishwa mistari?? na grace msalame yuko huku?? lakini hiyo disaster ya kijiji ilinipea stress ni kama mimi ndio wanderi
Hajaingia bado. Kijiji ilipea watu stress lakini sii tulijipangia huku. hata najua akina crazy dude, Third man na Kabuda sijui kaa wanalala. Kama uko na email zao waonyeshe hii njia.