newbie

hapa ni wangapi tumetoka kijiji ile ingine cz naona majina familiar hapa but nahope atwoli hayuko huku.
ni gatheti imenileta huku

Atwoli ndiye huleta gatheti…hehehe…and at ua door step…hauna bahati lazima choo ifunguliwe

1 Like

amakohosi karibu kwa kijiji

1 Like

Hapa ni wanakijiji wa former K/list wako wote…na sio k/list sasa ni K/LOST
Anyway Karibu kakabraza.

thanks @Electronics4u , @Fala 12 na @ol monk (old monkey) na huku niwaulize tu, kuna watu kukulishwa mistari?? na grace msalame yuko huku?? lakini hiyo disaster ya kijiji ilinipea stress ni kama mimi ndio wanderi

1 Like

mimi hata hii interface inanishinda sijajua hata kuitumia nimeingia leo lakini nitang’ang’ana…

1 Like

Hajaingia bado. Kijiji ilipea watu stress lakini sii tulijipangia huku. hata najua akina crazy dude, Third man na Kabuda sijui kaa wanalala. Kama uko na email zao waonyeshe hii njia.

1 Like

vile nishafika hapa lazima nilete wenzangu huku i have to be a villagers keeper…
na daktari wa kijiji ni nani huku??. @Chiefkiumbe big up

karibu sana @amakhosi - prvt developer

THANK you @The.Black.Templar nilikua nimeteseka bro na haunionyeshi njia kaka… but at least niko hapa.

Pole sana kaka, nimekua nikisema nitakutumia email nikuulize details fulani hapo…lakini wapi

On that note wacha niambie lister fulani niko na details zake atokezee hapa

mdunge tu mail yangu, alikua anataka nini ?? [email protected]

nadhani hatujaelewana, namaanisha kuna lister mwingine nikona contacts zake, labda anahangaika tu huko nje kwa soko kama mwenda wazimu.

Nitamshow ajoin listers wengine hii kijiji

1 Like

Karibu… Lakini nugu mzee haruhusu kahawa ya saa kumi kwa hii kichaka yake…

Karibu @amakhosi - prvt developer nategea kahawa tungu.

Haha kichaka ya nugu nzee

haha
mistari ziko

@amakhosi - prvt developer