One sunday niliamua kutembea ngara nikasema wacha nitafute park road juu mabloggers wameisifu sana for ma kunguru at first sikuwaona but wacha nikaribie apo karibu na gari za costo ile kuitwa nilikua nimeitwa na ni mchana adi sikumalizia iyo street juu nilikua nimeanza kumbao nilirudi 2…next week sijui nitembee 12street easgley ama buthia
Admin huchoki
ukienda ngara ulituomba ruhusa …
Nani sasa amekuhomba ruhusa nikipost uko na umama
Pitia hapo Stima Plaza uoshe macho
Oh,the lower caste guy:D:D
Mutu wa posho mill, tunakuona sana!!
We hutaki discreet massage. unataka Kutembea mguu ka kuku ukiangalia mahindi
Share exact location bruh…
Kolobot Road
Najua hapo kuna petrol ya total utaanza kuwaona
Wah…hao ni UoN and KU students…na wazazi wao wanasema watoto wako Nyairofi wanasoma…:D:D