Ngimanene Goes Shopping

[ATTACH=full]122921[/ATTACH] Ngimanene amepitia pale local supermarket kununua Ngima ya GoK na alikuwa amesahau kuwa plastic bags had been banned. Sasa pale unanunua non woven ya 10 bob yenye wadaku wanaona kile umenunua kisha unatembea nayo hadi nyumbani, Wakumbwa na wadaku what has been your experience post plastic bag banning? Mpaka nyeni sijafungiwa ziko tu hapo ndani. Sijapata nafasi ya kununua Chapo takeaway nione vile inafungwa

1 Like

hapa kihunguro bado tunatumia polythene bags

@nyogetha huku local supamaket mpaka wametoa watu wa kubag, mtu anajiwekea kwa bag baada ya kununua

2 Likes

Wuuueh naona mizizi apo ndani

Hizo ni nyeni hakuna juala ya kuweka

Hata thufu beba thermos…

1 Like

Sasa omo inawekwa next to mkate isn’t that a health hazard?

itasafisha matumbo

2 Likes

https://pbs.twimg.com/media/DIdro7hW0AAls3M.jpg

4 Likes

@old monk Vile tyre dealer Mutiso amesema Nyeni lazima zioshwe zingare

1 Like

Kali sana

:eek: :D:D:D speed ya githeri ni mach 2??? imefika space sasa