Nilisupply kampuni ya woriah na vitu na sasa imekuwa 6+ months na hawajalipa…naona wanafungua branches zingine lakini hawana pesa ya kulipa Ngimanene. Kesho watajua Ngimanene ti kihii kia kuthakia
[ATTACH=full]246086[/ATTACH]
Nilisupply kampuni ya woriah na vitu na sasa imekuwa 6+ months na hawajalipa…naona wanafungua branches zingine lakini hawana pesa ya kulipa Ngimanene. Kesho watajua Ngimanene ti kihii kia kuthakia
[ATTACH=full]246086[/ATTACH]
Jinga kojoa ulale
enda na nguruwe uone
Wajue hawajui, maffi wao!
Tafuta lawyer and Sue them
Patia yule 120kg of pure muscle kazi uende na Yeye ama hawa Wariahe watakufinya makagare urundi ukisema “ngima nene ni mai ma Kihii”
Ako busy Kiambu Road akiwa na mabango ya kitaeleweka .:D:D:D:D:D
Lazima watu wafanye biashara kwa njia halali, sio kuumizana… Kazi ya pesa kidogo ikuwe same day CoD upitie pale lingerie world kununua crotchless pandie utetemeshe ikusde ya madam hio siku vile kitunguu imenuka…kazi ya pesa kubwa ni 30 days, ukatetemeshe ikusde pale White Sands ukisherehekea
Nawaangukia na my lawyers kesho saa mbili asubuhi na mapema…heshima lazima idumu…na 20% interest
Kivisi kiino, tupatane hapo Njoguini Annex…utatahiri upende usipende ghasia ibilisi
Khasia … si lazima ulipe ndege, ntajileta tu kusaidia kama kaka braza
Huyo anakula mtura 24/7 anajua mdomo tu
Niaje mtu ya akili hakuna
Ikia Wararoo acio kiara itina,watatiii
Ukuja kuchomea Woria duka yake yote juu ya 20k wee ka huko mbali