nguvu za kiume

Mficha uchi hazai jmn mwanaume wangu katika tendo pendwa tukianza match dakika 2 anakua amemaliza na akimaliza amechoka kila sehem mpaka magoti yanamuuma, baada ya hapo anasinzia usingizi mzito sana
Hata nikimuhitaji tena hawezi namuua kujukunja tu
kuna siku aliniambia nimpe Vega/viagra atumie nikamwambia sio vizuri ukivizoea badae hautaweza kufanya kabisa

Wapenz naomben msaada kwa anaejua dawa angalau afikishe fakika 5 tu nitaridhika mie…

Ebu njoo PM nikuambie kitu…

Apate muda wa kupumzika

Ale vizur a well balanced diet

Anywe maji

Kama ni mpenzi wa kupiga mabao ya mkono awache mara moja

Kwanini asianze mazoezi maana yatamsaidia sana

Madhara ya Nyeto yameanza kuonekana

chaputa mbaya sana

Ha!aaaahaaaaa.Nyetooooooooooo

Naona chaputa wanapewa za uso tu kwenye huu uzi

Kupumzika anapumzika sana sababu tupo mikoa tofauti anaweza kaa hata mwez hatujaonana…chakula anakula vizur labda hapo kwenye nyeto sijui ngoja nimuulize

Aisee pole sana jamani

  1. Apunguze uzito kama ni mnene
    2.Afanye mazoezi 30 min for at least 4 days a week
    3.Apunguze pombe kama anakunywa
    4.Ale matunda na balanced diet,( sio chips,and snacks)
    5.Apumzishe mwili vya kutosha usiku
    6.Asifanye punyeto(Kwa mtu ambaye hamuonani mara nyingi na kama hafanyi punyeto anatakiwa kuwa na sex drive nzuri(Libido) na kukuridhisha ipasavyo

Chunguza maisha yake huko anakoishi peke yake… Ngumu kumeza ni kwamba inawezekana ameshawekeza kwenye zinaa sasa hisia zoote zimepotea kwako na kuhamia huko au laa basi mwenye kuzinaa naye kamtengeneza hivyo akifika kwako jogoo anakuwa amenyeshewa mvua au laa siku kabla ya kuja kwako anahakikisha amekimaliza kibaba chote hivyo akifika kwako anahitaji tuu kupumzika… kujua hili la mwisho ni kukaa naye muda kisha mlishe vyema kama jogoo ataaanza kuwika vyema basi jua uliletewa wa kuchora kabla… Mwisho madhara ya CHAPUTA yanaweza kuwa yameanza…

Wanaume hawaaminiki waweza sema anajitunza kumbe anapo pa kuhemea haya mambo wanayaweza wale ma virgin tu ndio wanaweza ishi ambao tumeshayaanza ngum sana kuamini hiv kuna mawili hapo kama hana mtu huko anatumia bao la mkono

Muulize haraka sana, Nyeto sio nzuri kabisaaaa hasa mtu akizoea

Mkuu show ni dk90 sio 5. Pole kwa yanayokukuta but ni swala limeanza karibuni au since dei wani.???
Apige zoezi walau 30mins, apige msosi vyema na kubwa zaidi aache NYETO kama anatumia

Mkuu kupumzika ni kupata usingizi vizuri, na hilo la kukaa mbali mwezi mzima hamjaonana Duuh ni changamoto.

Mambo ya mumeo kutokuwa na hizo nguvu unayaleta hadharani namna hii. Si ukae nae mjue nn mnafanya ili kuondoa tatizo hilo. empty set kabisa in advance.

Pole sana mamy yaani we unakuwa unatamani yeye kuendelea hawezi wanaume mnacheka si mumpe ushauri jamani nini afanye hiyo mume wake

Dakika mbili tu ndiyo achoke hadi magoti yamuumee na usingizi juu, kwani mnafanyia juu ya kokoto…

Siku jaribuni kufanya sehemu tofauti na nyumbani… au kama tatizo bado kabla ya tendo, aweke miguu kwenye maji ya moto, alafu ajifunge kichwani kitambaa kilichotoka kwenye maji ya baridi na huku amejifunika blanketi, hii itamsaidia damu kusambwaza mwili mzima kwa haraka na vizuri hadi kwenye nanilii yake… baada ya hapo mfanye huku akiwa amevaa soksi miguuni…

Cc: @Mahondaw

Hehehee napita tu miye nakuogopaje walahi ukiamuaaaaaaaaa mh!!

watu nanguvu zeinyuuuuuu