Ni matusim/maneno gani umeokota hapa kijiji

saa hii kuna boda amenipita wrong side memuita MEFFI CHIETH GHASEER

monoballer?

goja akje akupate hapa

The other day nkiwa mucatha nmeskia mujamaa wa bodaboda akiongea kwa phone, guess na mteja … akiambia the caller, “gojea nagurumisha nduthi na cum”.
Nlijipata nmemuita khasia :smiley:

Humbwer…

Which I accurately and permanently translated to ‘kendemosi’.

Tucker Tucker

humbwer-ghaseer-Tucker tucker …

Kunguru… Had some fundis around installing a water pump and an extra tank. So vile wao huwa they work while wanapiga story na kutoana rangi I overheard them asking mmoja wao “si wewe ukitembea na bibi yako vile ni mzuri kwa njia watu hudhani wewe ni profesa na tuko hapa na wewe” . I then asked him kwani alitoa wapi bibi mzuri hivyo na huku nje tunapatana na makunguru tu. Wote wakacheka kama ghasia.

I thought huku ndio kubaya kwa matusi until I heard watoto wa jirani wakitusiana matacore and they are tiny ni kama wako nursery.

hehehe watoi siku hizi… juzi nimepita twingine on the side of the road looking at a smart phone mmoja wao alikua ameshika…Kumbe wako youtube listening to tht song “taka taka” they must have been between 7 and 11 years old.

Uwespunda is my all time favorite

Chieth, diep.

Mimi iko siku tumeenda camp ya church Mombasa kama tunarudi na coastbus tukapitia pale sabasaba Mombasa kuna makuro walikuwa wanagonja customer. Since I was on the mirror na next kulikuwa na youth pastor. Nikasema [SIZE=6]ocular nutrition mecho imeng’ara kapsa. [/SIZE][SIZE=4]Nikaona pastor ananiangalia nikasema AMEN. He thought I was whispering a prayer.[/SIZE]

mcoodoo wa condor

Tumejua wewe ni fundi

hehe hiyo ni open secret

:smiley:

Whenever I am in mama oti’s place nikikula sembe na ngege, I restrain myself from laughing nikiulizwa utakula ya katikati ama mkia.

Nilikuwa nameza makali Kwa base siku moja na mabeshte. Mara jamaa akaja akazima Ile ngoma tulikuwa twasikiza. Nilijikuta nimemuita " ghasia Takataka humbwar!