Niajeni wakuu.

Hivi nauliza ile methali yenu husemwaje??.

Ukiskia la wakuu mkufuu huu na akifaa wakufuu haa na ukufu mkufu kuu…

ama namna gani

Sjaelewa hata robo

WTF !! is this Swahili OR Mkuu umeanza kugoroka

Asiyesikia la mkuu huvunjika guu…

Cc: @Mahondaw

Mjaluo akijua kiswahili kidogo tu, basi lazima akivunje hadharani… tehteehhh

Metoka kapa

Amedhamiria tusielewe

Mwenzenu huyo. Tabia kama za Ze Comedy Show kabisaaa, na zile jokes zao za kuchekesha macameramen pekee yake. :D:D:D