Nigeria Vs Algeria.

Hawa ma-oga wanapelekwa kama baiskeli ya kuibiwa. Wakiendelea hivi naona wakikamuliwa.

Hehe. First 10 min nimepoteza hope

Hawa ma-oga wakicheza watalimwa.

2nd half we are coming with vishindo and juju oh…

Hiyo bao ya Mahrez wamefungwa haraka kama mlango ya Lodging