Niliwahi kusema,narudia tena Belgium ni mabingwa wa world cup 2018

Kwenye JF ya Dar nilisema Belgium atakuwa bingwa wa WC 2018 lkn uzi wangu ukaungwa na uzi mwingine,narudia tena hapa JF ya Nairobi kuwa Belgium atachukua ndoo ya dunia,sababu Kubwa ni ubora wa kikosi chake.
Belgium anaongoza kwa kikosi bora cha dunia hasa tukitumia kipimo cha IMOBV scale from 0-10 ambapo 0 ni timu mbovu zaidi duniani (Tanzania kwenye scale inasoma 0.05) huku Belgium ikiwa 9.87.
Brazil ni ya pili scale inasoma 7.50
Hispania ni 6.5 ,England ya nne scale ni 6.3.
Kila la kheri Belgium.

Hili Kombe la Dunia tutaona na kusikia mengi sana yaani Mtu mmoja anashabikia SPAIN, BRAZIL, URUGUAY, FRANCE . Huu ushabiki ama Umalaya?

Aahhha

hivi kuna kikosi bora hapa duniani kwa sasa kuidi cha argentina na spain?

Wabelgiji uwaga wanapanick wale. Hili kombe ni ngumu kutabiri kwa sasa

Tarajia usichotarajia

Kombe Brazil

Experience is the best teacher,hicho ndio kitawaghalimu Belgium.

Team portugal hapa

aisee huo ni umalaya tena wa hatari sana

HAKUNA TIMU BORA KUZIDI NYINGINE NAONA HAPA ILA WATAKAO JIPANGA VIZURI WATANYAKUA KOMBE

Ngumu kutabiri.

Jana wamekaziwa

Ft: Belgium 3 - 0 Panama

Kwa kumfunga Panama? what is Panama?

Hayo ma Panama hata Stars ikikomaa inajipigia

Panama si ndo jirani yake na Haiti? hahahah

Argentina inashinda hili Kombe, watu wachave wanaelewa nini naamanisha

Mwendo mpera mpera

Mkuu nzima?