Kuko vipi nowadays? Dinner, BnB, mututho. Wapi kunabakisha?
Naskianga tu KANU street. Sijawai set foot naks
Kuna curfew, town is dead by 9PM. BBI tosha, uhuru na kazi!
Watoto chukua hapo platinum. Kama huogopi vindumba sugu, enda Sebs.
Ningekuwa wewe ningeenda Hyrax hill hotel na ku relax huko.
Usitamani kuingia rumande ya huko
kimakia leta hekaya vile wanaume walikuonyesha maneno hapo stenji
heheheh!
Niiii sio huyo Kimakia
kimakia uko na ufala sana. Tokea hapa platinum nikushikie white caps mbili
Pale platinum utakunywa chupa zako na ubebe momo mmoja
Niko huku juu Milimani,The Alps
Nilienda Shikpark
Leo naingia huko
Hiyo Hoteli ya kitambo…lakini sio mbaya