Leo kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha mzee Reginald Mengi nimemuona Lembeli yule aliyejirudisha CCM huku ikisemekana baadhi ya wanachama hawamtaki yupo karibu kabisa na Jiwe ikumbukwe huyu Lembeli uwa pia anajipendekeza sana kwa Mzee Mengi sasa kwa kuwa hii hafla ni ya mzee Mengi basi naona ametumia fursa hiyo kwenda kujikomba kwa jiwe aweze kutibu njaa yake na kwakuwa jiwe naye hupenda kufanya mambo kwa mihemko basi uenda lengo lake huyu Lembeli likatimia si muda mrefu tutasikia huyo ng’ombe aliyefyekwa mkia akitunukiwa cheo, nchi yetu ni ya ovyo sana.
Mzee wa nyeti za kuku bure kabisa njaa inamgegeda
Nyeti hadharani; upepo ushapiga
Kwa upepo huu lazima nyeti ziwe nje!
Mkuu kitabu cha mzee Mengi kinahusu nini? Wengine hatujafuatilia.
Kitabu kinaelezea historia na changamoto mbalimbali alizopitia hadi kufikia mafanikio aliyonayo hivi leo, amekiita " I can, I must, I will
Mzee kachokaa
Njaa mbaya aisee
Na wanasiasa wengi si wavumilivu njaa ikiwapiga kidogo tu wanachanganyikiwa
Nilisikia nyumba yake wanataka kupiga mnada
Kwanini
Kwanini au madeni yamemzidia?
Kweh kweh kweh!! Ninakumbuka alivyomjibu jiwe wakati ule akitongozwa arudi!! Mh mimi nimekusikia wazi ukisema wanaorudi [COLOR=rgb(235, 107, 86)]wamekatika mikia!!
Alijibu mh mimi sijakatika mkia!!
[COLOR=rgb(235, 107, 86)]Sasa sijui umeota!!
kumbe sijaona vibaya eh
Watu wanatafuta ugali. Haaaaahaaaa
Nashukuru sana kwa taarifa. Nitakitafuta nikisome; naamini nitajifunza mengi, ukichukulia mafanikio aliyo nayo mzee Mengi.
Haiuzwi tena na mnada umeota mbawa, hii ni baada ya kulamba matapishi, amecheza na akili za jiwe
Siwapendi ndumilakuwili