nilikua huko juzi after more than a decade. Wazungu wamejaa na kina uhuru and his cronies wamebeba kila kitu. But i enjoyed the place every now and then ilikua inabidi tufukuzane na ma ndovu zinataka kufagia shamba. Nilirudi Nairobi nikiwa nimechafuka roho vibaya sana takataka na kelele kila mahali za kina addi Gaza
nilikua huko juzi after more than a decade. Wazungu wamejaa na kina uhuru and his cronies wamebeba kila kitu. But i enjoyed the place every now and then ilikua inabidi tufukuzane na ma ndovu zinataka kufagia shamba. Nilirudi Nairobi nikiwa nimechafuka roho vibaya sana takataka na kelele kila mahali za kina addi Gaza