Ningehamia Huku Isipokuwa ni Wizi

Salarey

Village Elder
#15
Nilifika naks nikapenda hio place, place ingine pia ilinijazz ni nanyuki. Hewa swafi and the place is cool to relax.

nilikua huko juzi after more than a decade. Wazungu wamejaa na kina uhuru and his cronies wamebeba kila kitu. But i enjoyed the place every now and then ilikua inabidi tufukuzane na ma ndovu zinataka kufagia shamba. Nilirudi Nairobi nikiwa nimechafuka roho vibaya sana takataka na kelele kila mahali za kina addi Gaza
 

Yuletapeli

Village Sponsor
#20
nilikua huko juzi after more than a decade. Wazungu wamejaa na kina uhuru and his cronies wamebeba kila kitu. But i enjoyed the place every now and then ilikua inabidi tufukuzane na ma ndovu zinataka kufagia shamba. Nilirudi Nairobi nikiwa nimechafuka roho vibaya sana takataka na kelele kila mahali za kina addi Gaza
Hewa safi, no noise ndio place natakanga
 
Top