Kwani kuna kosa gani kuuliza?umeshafanya kazi mwezi mzima na mwisho wa mwezi unastahili malipo ya kazi yako,kwahiyo sioni ubaya mtu kujua haki yake hata kama anashughuli nyingine inayomuingizia kipato.Shida iliopo watu walizoea sana kujiingizia pesa kwa njia zisizo halali kwahiyo mtu alifikia mahali hajali kama mshahara umeingia au la,sasa ile mianya haipo tena hivyo the only source ya income ni mshahara wake,acheni tu waulizie…