Mambo vp wakuu…
Natokea Tanzania… nmevutiwa sana kuja kuishi kenya kwa sababu mbalimbali. Hivyo basi naomb mnifahamishe namna ya kuweza kuingia kenya, Je natakiwa niwe na vibali au naingia tu kama alivosema Rais Kenyatta??..
Also nakaribisha new friends kutoka kenya…
THANKS
Polmos
June 11, 2018, 8:08pm
2
Ume pewa kiti kwanza?ama ni kupayuka tu?
system
June 11, 2018, 8:18pm
4
Uko wapi haswa ili tukupe mawaidha?
Wataka kutumia Ndege, meli au gari?
system
June 11, 2018, 8:18pm
5
Kemodaa:
Mambo vp wakuu…
Natokea Tanzania… nmevutiwa sana kuja kuishi kenya kwa sababu mbalimbali. Hivyo basi naomb mnifahamishe namna ya kuweza kuingia kenya, Je natakiwa niwe na vibali au naingia tu kama alivosema Rais Kenyatta??..
Also nakaribisha new friends kutoka kenya…
THANKS
Kuja na madada zako wote tunawapenda sana
https://www.youtube.com/watch?v=5-Vl0-zTdBk
 huyu hana mfupa hata moja :p:p:p
system
June 11, 2018, 8:29pm
9
Mbwa ghasia takataka…mvivuu wee kaa kwenu
Kemodaa:
Mwanza… i prefer bus
Ingia basi, Vuka mpaka, tafuta mahali unapotaka kuishi, iwe ni vitongoji au maeneo ya kifahari; mfuko wako ndio utakaoamua, hakuna atakayekusumbua…
Bahati kuko aje? Natalia kuelekea hivo weekend.
123tokambio:
Ingia basi, Vuka mpaka, tafuta mahali unapotaka kuishi, iwe ni vitongoji au maeneo ya kifahari; mfuko wako ndio utakaoamua, hakuna atakayekusumbua…
Thaks sana bro. Nimependa ukarimu wako
List ya kesho niaje niichambue. Been busy kiasi, but kesho niko fete…
system
June 11, 2018, 8:37pm
14
Bado niko Ilovi.Nasikia baridi tu ndio imezidi.Mahindi maharagwe ziko green,hope kile kidudu hakitatokea this time
system
June 11, 2018, 8:37pm
15
Kemodaa:
Unapenda madem?
wale tu wana haga kubwa kama huyu. 100% boneless
Wew njamaa unakula bange ya kisii… faki yu
123tokambio:
Ingia basi, Vuka mpaka, tafuta mahali unapotaka kuishi, iwe ni vitongoji au maeneo ya kifahari; mfuko wako ndio utakaoamua, hakuna atakayekusumbua…
Weweee!!! Naona wanakenyatalk tumeanza kuzingatia nguzo za Kiswahili mufti…whatever that means :D:D
Kemodaa:
Tayarii nimepewa
Hebu andika insha ukielezea ulivyo hisi ulipokikalia.
Nitawafunza kiswahili cha watz