mimi ni newbie hii mtaa nilijoin january my handle was dushnyau nikasahau email address so ikabidi nitengeze handle ingine leo so allow me to re-introduce myself kadushnyau, anyway naona mabirrionares ndio wengi huku… its funny mtu anaeza kuwa anything kwa mneti mtu ana kutusi vile we ni maskini alafu analog out anaenda kukula chapo ndondo kwa kibandaski…nipeeni kiti sasa
2 Likes
Sema JOHO JUU JUUUUUU JUUUUUU SAIDI…
3 Likes
Hakuna Kiti simama…
3 Likes
JOHO JUU JUUUUUU JUUUUUU SAIDI…
tulia pia wewe…mefi
1 Like
Noggle NV utajifunza kuheshimu wazito lini? Ni mimi unaambia nitulie?
2 Likes
[ATTACH=full]90637[/ATTACH] kalia hapo
1 Like
Hehehe, sasa uko ndani ya mneti.
Anyway karibu.
Wacha I conduct further investigashen.
1 Like
Piga magoti ukiangalia uwanja wa mbuzi, kisha utamke jina la Sultan kwa mbwembwe na madaha.
2 Likes
Hehe jirani huchoki yani…
Anataka kuchukua posishen ya Bingwa al Scrotum:D:D:D
2 Likes
salamu ziishe, jirani get to work…
1 Like
ata sijui jirani ni nani please admin saidia hapa please
2 Likes