NIS graduate trainee program

Hi folks.
I am looking for insights into whether NIS has had graduate trainee program recently. Anyone who might have seen an advert on the same. And if so, in which month do they mostly hire?

Ulizia mtu wa jubilee development, maybe it’s under Dr uncle dp rutos docket

they advertise on the dailies yearly but u cant know its them…tried looking hadi nka choka…vile najiskia JACK BAUER…

Kangkang, ushawai ona hizo adverts? Someone told me they had advertised on their website sometimes back so I keep on checking. Lakini sijakua nikiona any.

Sama here… though sijawai ona any…

They advertise openly on their website. Diploma and degree. Create a profile and make your application. Kwa website yao. Shida ya kujiingiza uko utajua vitu hufai kujua na ikue mzigo kwako. Ukufe bure

:D:D:D

NIS ni ngumu kuingia. Mi huambia watu kwanza waingie jeshi alafu ujoin military intelligence hapo pengine utapata hio kazi.