NIS wamefanya mambo yao

[ATTACH=full]453779[/ATTACH]

Hawa watu wako na hasira sana

Zoos on Zoos violence

tuvae leso sasa?

Duale alikua amesema atatoboa siri za Al shabab. From hio audio amesema atatuma vijana wamdunge huyo dcio visu. Mimi sijui hivyo ni kusema nini. Hata wacha mimi nijinyamazie hapa tu.

[ATTACH=full]453785[/ATTACH]

Anauza uoga

Very reckless for a leader.
Aki everyone involved with UDA issa Thag.
Thaggary!

Mtalia mtachoka. Nyinyi endeleeni kupiga watu risasi

Bingwa on bingwa vayolens furaha ya nywele steelwool

Ooh thats nothing new acha nirudi kulala

Keep off Arab affairs

:smiley:

[ATTACH=full]453836[/ATTACH]

hiyo neighbouring village ikoje tho elder? Would you rate it above hii mucatha yetu or wot

Hii ni mkojo tu, this audio is not admissible in court of law

Did he say “Karibu nimu Memusi”?

Si mbaya. They’re not as uptight as they used to be. Lakini kijiji ya vijana will always be number 1.