Nisaidieni wana Africa mashariki

Habari wana jamii forum?

Jaman kuna jamaa yangu amepatwa na tatzo la nguvu za kiume mashine imelala kabsaa kwa mke wake wa ndoa ila amejaribu kwenda nje ya ndoa amefanikiwa kupiga shooo ingawa haikuwa ya kibabe.

Haya ni maelezo yake akiiitaji msaada wangu najua humu mpo madakitari msaada wenu tafadhali niweze okoa ndoa yake

Aisee, ngoja wabobezi waje

Nmefurah nmekutana na mwifwa huku asante nmeamini hakuna wa kutufunga mdomo

Sawa watakuja wataalamu,ila hata kama ni wewe usione haya,ni mambo yapo tu siku hizi…

Huko nje isijekua wamemfanyia hivo

Mwambie ajiweke sawa kiakili wakati anajiandaa kuingia kwenye tendo.
Anaonekana ana tatizo la kisaikolojia

Asante

matatizo ya kisaikolojia hayo na mke wake ndo chanzo

Mwambie jamaa arelax tu,kama anakula vizuri na hana magonjwa kama kisukari au pressure (hyper)…sex ni ubongo zaidi kuliko tunavyofikiria…

Ase hapo ni apunguze mawazo, afanye mazoez atakuwa vzr tu

Tuna tatizo kati yake na mkewe.

Aisee mpe pole sana

[emoji267] UNGA WA LUB’UNGWA [emoji267]
[emoji891][emoji263]NI MUJARABU KWA MATATIZO HAYA[emoji116][emoji263][emoji891]
[emoji117]1-Kuongeza mbegu za kiume
[emoji117]2-kushindwa kurejea tendo baada ya mshindo wa kwanza
[emoji117]3-kuwahi kufika kileleni
[emoji117]4-Walioathirika na punyeto (inamrudisha kwenye hali ya mwanzo)
[emoji117]5-Kuimarisha misuli ya uume
[emoji117]6-Mwanamke asiyekuwa na hamu ya tendo la ndoa
[emoji117]7-Kiuno
[emoji117]8-Vichomi
[emoji117]9-Chango
[emoji117]10-Tumbo kuuma
[emoji269][emoji263]MATUMIZI [emoji263][emoji269]
Chukua unga wake nusu kijiko cha chai kwenye maji moto kikombe kimoja x mbili kwa siku tumia siku 7 tu inaanza kufanya kazi baada ya masaa manne na haina madhara yoyote kwa mtumiaji pia ni tiba ya kudumu
[emoji1018]Kwa ushauri na tiba fika SIRAAJUL MUNIYRI DUKA LA DAWA LILILOPO
Makumbusho Dar
+255 655 821 550
Sulayman Sangida

[emoji891] DAWA YA NGUVU ZA KIUME [emoji891]
Kwa wale wenye kusumbuliwa na nguvu za kiume tafuta dawa hizi:-
[emoji298]1. Kisenganyika
[emoji298]2.Mlipu

Katika mimea hiyo hutumika mizizi yake, chukua mizizi ya mimea hiyo bandua maganda/magamba/magome ya mizizi hiyo ikaushe vizuri kila moja sehemu yake kisha isage kila moja sehemu yake baada ya hapo changanya unga huo wa mlipu na kisenganyika kwa ujazo sawa , yaani kama utapata mlipu vijiko kumi na kisenganyika iwe vijiko kumi,

[emoji268]MATUMIZI[emoji268]
Tumia kijiko kimoja cha mchanganyiko huo kwa maji moto kikombe kimoja kutwa mara mbili

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nami
+255 655 821 550
what’s app /call
Sulayman Sangida