Jaman kuna jamaa yangu amepatwa na tatzo la nguvu za kiume mashine imelala kabsaa kwa mke wake wa ndoa ila amejaribu kwenda nje ya ndoa amefanikiwa kupiga shooo ingawa haikuwa ya kibabe.
Haya ni maelezo yake akiiitaji msaada wangu najua humu mpo madakitari msaada wenu tafadhali niweze okoa ndoa yake
[emoji267] UNGA WA LUB’UNGWA [emoji267]
[emoji891][emoji263]NI MUJARABU KWA MATATIZO HAYA[emoji116][emoji263][emoji891]
[emoji117]1-Kuongeza mbegu za kiume
[emoji117]2-kushindwa kurejea tendo baada ya mshindo wa kwanza
[emoji117]3-kuwahi kufika kileleni
[emoji117]4-Walioathirika na punyeto (inamrudisha kwenye hali ya mwanzo)
[emoji117]5-Kuimarisha misuli ya uume
[emoji117]6-Mwanamke asiyekuwa na hamu ya tendo la ndoa
[emoji117]7-Kiuno
[emoji117]8-Vichomi
[emoji117]9-Chango
[emoji117]10-Tumbo kuuma
[emoji269][emoji263]MATUMIZI [emoji263][emoji269]
Chukua unga wake nusu kijiko cha chai kwenye maji moto kikombe kimoja x mbili kwa siku tumia siku 7 tu inaanza kufanya kazi baada ya masaa manne na haina madhara yoyote kwa mtumiaji pia ni tiba ya kudumu
[emoji1018]Kwa ushauri na tiba fika SIRAAJUL MUNIYRI DUKA LA DAWA LILILOPO
Makumbusho Dar
+255 655 821 550
Sulayman Sangida
[emoji891] DAWA YA NGUVU ZA KIUME [emoji891]
Kwa wale wenye kusumbuliwa na nguvu za kiume tafuta dawa hizi:-
[emoji298]1. Kisenganyika
[emoji298]2.Mlipu
Katika mimea hiyo hutumika mizizi yake, chukua mizizi ya mimea hiyo bandua maganda/magamba/magome ya mizizi hiyo ikaushe vizuri kila moja sehemu yake kisha isage kila moja sehemu yake baada ya hapo changanya unga huo wa mlipu na kisenganyika kwa ujazo sawa , yaani kama utapata mlipu vijiko kumi na kisenganyika iwe vijiko kumi,
[emoji268]MATUMIZI[emoji268]
Tumia kijiko kimoja cha mchanganyiko huo kwa maji moto kikombe kimoja kutwa mara mbili
Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nami
+255 655 821 550
what’s app /call
Sulayman Sangida