Niwaulize , Niaje mtu huingia kilimani mums and dads uncensored?
Nvchieth MTU huingia hivi uki bounce , apantambua mumama wa kwanza unakutana na yeye unam rwada kibare
[ATTACH=full]249806[/ATTACH]
Si unaingia tu, kwani?
UNAEZA PIA KIMBIA NDIO UFIKE HARAKA
kwanza unanunua sketi, kamisi au leso.
Fika pale Kencom and board bus number 46 , enjoy the sermon all the way and mwambie conductor akushukishe Yaya .Baas Uko Kilimani .Look around and you will see mums and dads wa Kilimani .Thank me later
ghasia
unaanzanga na kuvaa thong
Unaanzaga na maswali shenzi kama haya, kidogo unamea matiti, kisha unanunua bra na kamisi alafu unajianika pale tinder. Kina @uwesmake and other interested parties will holla and that will be your rise to stardom (read umama reloaded).
UNAINGIA na matako vile they used to tell us Freemasons get into their temples
Hall/Lodge
Weka kichwa yako ndani ya bakuli (bowl) ya choo na uflush - mara that huko kilimani mums
Kusema tu ukweli , nani kati yenu ako Kilimani mum’s and dads kweli