Bora shibe.
One person.
Bora shibe.
One person.
He he yani unakula chicken na chicken products kwa sahani moja
Chakula ya kuku,Mtoto ya kuku na kuku mwenyewe…acha ukuku
He he he, hii buffet ya end year party lakini sielewi kwa nini uchukue maindi pamoja na ugali, mayai pamoja na kuku. Ni mimi naona vibaya ama kuna githeri kwa hiyo sahani.
Sijui a place along Kiambu Rd called Sidai Oleng. A friend had sent me this but too bad an not into this kind of food. In fact I barely eat.
[ATTACH=full]28047[/ATTACH]
Yes Mohamud Abduba Dida tales of leave a room for extras hakuna.
thaaat is food now…minus the mayai boilo…
Ukikula hivyo na kuongeza pombe juu, by 2017 elections kitambi unabeba kwa wheel barrow and by 2022 before Ruto becomes president you will be swapping stories with akina Musa and Aaron.
Looks like ile mabaki ya hoteli mastreet people hupewa
hiyo ni ugali ama chumvi
i doubt your sincerity…
Zikifika kwa tumbo, zitamix zote. Tumbo haijali
Don’t, It real clean food. very delicious.
Lunch… [ATTACH=full]28051[/ATTACH]
it is the sincerity of that guy who said it looks like leftovers that i doubted…
hii ni mafuta tupu murume. Are you trying to gain weight?
Hii ni real recipe ya kuumwa na tumbo.
nimeanza kuskia njaaaaaa banaaaaaa
mafuta gani m-say, mafuta unaacha papo hapo kwa sinia…
Balanced diet