NOBODY HAS DIED OF HUNGER!!!RUTO SAYS!DO YOU BELIEVE HIM?

https://www.youtube.com/watch?v=HwZmNfi7rHA

Ruto. These deaths are inversely proportional to the square root of drought hypotenuse.

People need to change farming methods. Livestock herding/pastrolist is outdated and barbaric. … people should try irrigation and plant arid crops

This is condescending.

Ni kama vile nimesikia watu wengine wakisema, “Si hawa watu wahame?”

Saa hiyo ni cucu na guka peke yao wako kwa nyumba. Gugu umwambie ahame?!?

Vijana wote wamesha hamia kwa mto na mifugo huku wamebeba bunduki, na wenzao pia kutoka kabila jirani wamehamia huko huko pia wao wamebeba bunduki.

ati wahame… hawawezi hama. Ive said this severally…Those guys are addicted to msaada. Wakitoka huko hawatapata msaada. Go figure why they burn mashamba ulipanda kitu. Tghey say wewe ndio utafanya tukose msaaada. Ukieka tank uhavest maji inatobolewa for the same reason

Yes I do believe him because he is very good with truth: Even if he were to say nobody drowned in Kimwarer dam… .Imagine you are in @spear shoes and you are paid to believe every word WSR breathes or hisses out… what would you do as not to lose your pay check?

ruto is crazy. anataka kuturudisha ile tym yam oi when his imagination would become our reality

Wanapenda wazungu wakikam na camera zao photoshot na mambavu apo na flies on thier faces ka props

lakini tunabebangwa ujinga sana na unaeza ona ule msee wa 130kgs of pure clay akiamini.So they say the people died of disease.sawa.But dont we all know that even a simple homa will affect a nutritionally deprived person more?i mean,ni sawa walidedi na ugonjwa but indirectly njaa iliwaua…Alafu irony ni after iyo news article,the anchor says “and now we have our reporter on standby in turkana county…”…and the images are exactly opposite

Give us the formula my fren

Yeah, why don’t you blame the people who stole the funds meant to construct dams for those regions? Israel is a desert na hawajawahi hama

I’m one of the harshest critics of those thieves. I created a thread telling them that karma will haunt them. I don’t support them. Meanwhile be reading through all threads so that we can be on same page

Hauwezi kufa kwa Ukimwi, utakufa kwa mahoma homa, malaria ect. Ruto yuko sahihi

where is the water for this?

Lake turkana

In the absence of Ukimwi the homa, or malaria may not kill you. Likewise in the absence of starvation the illness may not kill. They are dying from hunger related complications.